WAFANYAKAZI WA ZANTEL WAFANYA USAFI SOKO KUU LA TANGA


Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakifanya usafi soko la Mgandini jijini Tanga, kama sehemu ya huduma zao kwa jamii. Wafanyakazi wa Zantel walikuwa jijini Tanga kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni yake mpya maalum kwa mikoa ya Pwani, ijulikanayo kama BAO. Baada ya Usafi, Zantel ilikabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa soko la Mgandini ili viendelee kusaidia kuweka mazingira ya soko hilo katika hali ya usafi.
Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakifanya usafi soko la Mgandini jijini Tanga, kama sehemu ya huduma zao kwa jamii. Wafanyakazi wa Zantel walikuwa jijini Tanga kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni yake mpya maalum kwa mikoa ya Pwani, ijulikanayo kama BAO. Baada ya Usafi, Zantel ilikabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa soko la Mgandini ili viendelee kusaidia kuweka mazingira ya soko hilo katika hali ya usafi.
Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakifanya usafi soko la Mgandini jijini Tanga, kama sehemu ya huduma zao kwa jamii.
Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakikabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa soko la Mgandini ili viendelee kusaidia kuweka mazingira ya soko hilo katika hali ya usafi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527