Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed kulia akifanya ziara ya kutembelea Hospitali ya Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja kuangalia Miradi na mafanikio mbalimbali yanayo patikana katika hospitali hiyo. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEg-w4FkWqFum663DXq9dOrKaGg_2fMK-dWzbYZ60v6NY22l-3DcH8AkTbTt3biQ8cvY1MEzSkaWObMal848eRVakI0JU_tOqBcOc3gDQFDiGyzU1tXNT1aNdUIEqRweR8zshacm455aaLHDcvgMQCLQFgx4xLRKVpzkvpnNq39WTCJbDQ=s0-d)
Daktari wa Hospitali ya Makunduchi Vuai Abdalla (MD) akimuelezea Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed maendeleo na changamoto zinazowakabili katika Hospitali hiyo. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEj8HdlrZpUwPWGblKS7Ovh871XOv6VHdKfY9ZgPeBBlqfdlDFBk9fqLlAYJU9NCv4WxLivn9Dag5PuPD0OPdykgTpHqHUVwYW28GNUwaq80dazFTMH03Q-xh0Lq50rtVolWxj0j1_4gd1zmdejiCAGnoYL5eVprVoSxN1XFgHBUV_eGmQ=s0-d)
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akisalimiana na Mzazi Asia Issa Hassan mkaazi wa Makunduchi aliyekuja kujifungua katika Hospitali hiyo na kumuelezea furaha yake ya kufuata uzazi wa Mpango. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEg0VLY2CcetGZYmEgdys6O1U9mTAEgyrdvv6kKqa5OsBPIOw0R_0WK6ADFVVGDClGXhRpxUwDI5yI0aA7QPrkg__jIxkUHUZ_p_tb29wiFWNv9FkMeqyM2aV6yTlGgqBbiG8xy_1-I7HNf8X3p0r1KUinOdFwG3KcZwiQ13i6RpkkU_Dw=s0-d)
Muonekano wa Jengo litakalotumika kama Makaazi ya Madaktari kwa ajili ya kuondoa usumbufu wa Madaktari waliokuwa hawana nyumba ya kuishi katika Hospitali hiyo. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEi4bRe_dPURGE7YdkLDfgwgT7xhdoLktbgVsPiepm3CS7UHA4TBoRRLhd9JiWtiV1KjZaIG9G_Lj-q-XRQLB0uolfATvZIifpdJ8Ir_c_mbFRuitNhzxUA18awMcRK6_BZhV_gOKJef8-fxAdxS0aESelgRJbwJ184l7E2V_Ff0hHvIUg=s0-d)
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akimsikiliza Mpishi wa kituo hicho Suleiman Mohammed Suleiman aliyekuwa akimuelezea changato wanazokabiliana nazo katika kutoa huduma ya chakula. Picha na Abdallah Omar-Maelezo Zanzibar