UVCCM YAMTUNUKU HATI MAALUMU YA PONGEZI MBUNGE AZZA HILAL HAMAD


Umoja wa Vijana wa Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Shinyanga Vijijini kimemtunuku hati maalum ya pongezi Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Azza Hilal Hamad kwa uongozi bora na wa mfano uliotukuka,kuunganisha na kuimarisha mshikamano ndani ya Chama Cha Mapinduzi,usimamizi wa vitendo katika utekelezaji wa wa Ilani ya CCM pamoja na ufadhili wa hali na mali kwa chama na jumuiya zake. Pichani ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Cha Mapinduzi Ndugu Kheri Denis James akikabidhi hiyo kwa Mheshimiwa Azza Hilal Hamad (kushoto) wakati wa ziara yake katika wilaya ya Shinyanga Septemba 26,2018.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527