MIZIGO YA WALIOFARIKI,MANUSURA KWENYE KIVUKO CHA MV NYERERE YAANZA KUELEA ZIWANI

Baadhi ya mizigo ikiwamo mikungu ya ndizi, mikoba na majamvi iliyokuwa ndani ya kivuko cha Mv Nyerere kilichozana ziwa Victoria imeanza kuelea na kusukumwa na maji hadi ufukwe wa kijiji cha Bwisya kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Hali hiyo imejitokeza baada ya wataalam wa uokoaji kufanikiwa kikilaza ubavu kivuko hicho hicho kilichopinduka Septemba 20 na kujifunika kifudifudi.

Na Peter Saramba, mwananchi

    Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

    Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527