MHADHIRI WA UDSM NA MTANGAZAJI RADIO ONE AFARIKI DUNIA


Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Dk Misanya Bingi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili Septemba 16, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa amelazwa.

Mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha Televisheni cha ITV na Redio One alikuwa akisumbuliwa na kiharusi, msiba upo nyumbani wake Makongo, jijini Dar es Salaam.

Baada ya kuacha kazi ya utangazaji, Bingi alijiunga na UDSM na alipohitimu masomo aliajiriwa chuoni hapo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527