JIMBONI KWA MBOWE HALI SIO SHWARI DIWANI MWINGINE WA CHADEMA ATIMKIA CCM


Diwani wa Msama  Rundugai kupitia (Chadema), Ndg. Elibariki Lukas Mbise  ameandika barua ya kujiuzulu udiwani na kujiunga na cham chama Mapinduzi CCM kwa maelezo kwamba anamuunga mkono Rais John Magufuli.

Mbise ni diwani wa tatu katika Halmashauri ya Hai kujiuzulu kwa kwa kipindi cha wiki mbili sasa kwa kutoa sababu kuwa anamuunga mkono Rais Magufuli.

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, amethibitisha leo (August 21 ) kupata taarifa za kujiuzulu kwa Mbise.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527