JIMBONI KWA MBOWE HALI SIO SHWARI DIWANI MWINGINE WA CHADEMA ATIMKIA CCM
Tuesday, August 21, 2018
Diwani wa Msama Rundugai kupitia (Chadema), Ndg. Elibariki Lukas Mbise ameandika barua ya kujiuzulu udiwani na kujiunga na cham chama Mapinduzi CCM kwa maelezo kwamba anamuunga mkono Rais John Magufuli.
Mbise ni diwani wa tatu katika Halmashauri ya Hai kujiuzulu kwa kwa kipindi cha wiki mbili sasa kwa kutoa sababu kuwa anamuunga mkono Rais Magufuli.
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, amethibitisha leo (August 21 ) kupata taarifa za kujiuzulu kwa Mbise.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
Social Plugin
TAFUTA HABARI
JAMBO DRINKING WATER
MAFUNZO NA LESENI
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin