DIWANI MWINGINE WA CHADEMA AHAMIA CC AKIDAI CHADEMA INA MIGOGORO

Aliyekuwa Diwani wa kata ya Mambwenkoswe wilayani Kalambo, Kanowalia Siwale(CHADEMA) amejiuzulu na kujiunga na CCM

Siwale amedai kuwa sababu ya kujiuzulu ni kutokana na chama hicho kujaa migogoro ambayo haisaidii jamii na isiyoleta maendeleo kwa ujumla.

Amesema ameamua kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika juhudi za kuleta maendeleo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527