CHRISTOPHER CHIZA ASHINDA UBUNGE BUYUNGU



Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa Ubunge na madiwani katika Kata mbalimbali uliofanyika hapo jana.



Katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Buyungu lililopo mkoani Kigoma, mgombea ubunge kupitia tiketi CCM, Christopher Chiza ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527