Waziri wa Maliasili na Utali Dr Hamisi Kigwangalla anaendelea kuimarika vizuri baada ya kupata ajali ya gari alipokuwa akitokea mkoani Arusha kuelekea Dodoma baada ya gari lake kupinduka na kusababisha kifo cha Afisa habari wa wizara hiyo Hamza Temba.
Hapa kuna picha mbili akiwa ameweza kusimama mwenyewe nje ya Hospitali.
Social Plugin