MBUNGE WA CUF AJIVUA UANACHAMA

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Amina Mwidau Mkoa wa Tanga (CUF), amejivua uanachama wa chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa wa chama hicho na kujiridhisha na utendaji wa serikali ya awamu ya Tano chini na Rais John Magufuli. 

Aidha, Mwidau hajabainisha iwapo atajiunga na chama chochote cha siasa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527