MAZISHI YA MWANAMKE MZEE ZAIDI 'MIAKA 120+' YAFANYIKA SHINYANGA

Mazishi ya mwanamke anayedaiwa kuwa ndiye mzee zaidi mkoani Shinyanga bi. Lydia Gigwa Mussa mwenye umri wa miaka 123 yamefanyika leo jioni Alhamis Mei 31,2018 katika kijiji cha Kolandoto kata ya Kolandoto Manispaa ya Shinyanga.

Lydia Gigwa Mussa alizaliwa mwaka 1895 na amefariki dunia Mei 28,2018 wilayani Kahama kisha mwili wake kusafirishwa kwenda manispaa ya Shinyanga kwa ajili ya mazishi.







Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527