Simba SC Jumatatu ya April 9 2018 walishuka katika uwanja Jamhuri Morogoro kucheza na wenyeji wao Mtibwa Sugar.
Simba ikiwa ugenini imefanikiwa kuondoka na point tatu katika uwanja wa Jamhuri Morogoro kufuatia kupata ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 24.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako