SIMBA YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1 - 0

Simba SC Jumatatu ya April 9 2018 walishuka katika uwanja Jamhuri Morogoro kucheza na wenyeji wao Mtibwa Sugar.

 Simba ikiwa ugenini imefanikiwa kuondoka na point tatu katika uwanja wa Jamhuri Morogoro kufuatia kupata ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 24.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527