Wachezaji wa Klabu ya Shytown Veterans ' Shytown Veterans Sports Club' ya mkoa wa Shinyanga wakiwa katika uwanja wa polisi Kambarage mjini kabla ya kuanza mazoezi ya kawaida mwishoni mwa wiki iliyopita.
Klabu hiyo ya wachezaji wa zamani wa mpira wa miguu inaongozwa na mwenyekiti wao Christopher Msigwa na katibu Mohamed Katoto.