Akizungumza leo Jumanne Machi 27, 2018, kamanda wa polisi mkoani Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kwamba chanzo ni uzembe baada ya Wachina hao kulipua mwamba bila kuchukua tahadhari.
Amewataja waliopoteza maisha kuwa ni Li Shaobin (44) na Qian Zhaorang (49) na kwamba, miili yao imehifadhiwa Hospitali ya Makoye iliyopo mjini Geita na kwamba walikuwa wakiishi nchini kihalali.
Social Plugin