LOWASSA ATOA KAULI YA MWAKA MPYA...UJUMBE UNAHUSU WATANZANIA WOTE


Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu CHADEMA, Mh. Edward Lowassa amewataka watanzani kwa ujumla wao wote wakatae kugawanywa kwa sababu yoyote ile.

Mh. Lowassa ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii wakati akitoa salamu za Mwaka Mpya 2018.

Mh. Lowassa ameandika "Tunapouanza mwaka huu mpya niwaombe watanzania wenzangu tukatae kugawanywa kwa sababu yoyote ile. Umoja na mshikamano ndio nguzo yetu. Nawatakia Heri na Fanaka ya mwaka mpya 2018".

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527