MKESHA WA THE WORSHIPPERS NIGHT 2017 KUFANYIKA IJUMAA HII KATIKA UKUMBI WA UPANGA CCC


WAKAZI WA DAR ES SALAAAM MKO TAYARI? The worshippers night 2017 - USIKU WA WAMUABUDUO ni usiku wa kusifu na kuabudu ambapo watu wote wa Dar es salaaam tutakutana katika ukumbi wa CCC UPANGA JIJINI DAR E SALAAAM, Ni siku ya ijumaaa hii tarehe 1.12.2017 kuanzia saa 2 kamili usiku.


Mkesha huu unawaunganisha watu wote wa madhehebu yote. Mkesha huu utapambwa na choir na waimbaji mbalimbali kama vile
  1. Kwaya ya uinjilisti KIJITONYAMA
  2. AIC CHANG'OMBE
  3. MTBC PRAISE AND WORSHIP TEAM
  4. IFM TAFES
  5. MSASANI PRAISE AND WORSHIP TEAM
  6. ESSENCE OF WORSHIP
Bila kuwasahau wenyeji THE WORSHIPPERS NIGHT MASS CHOIR

Pamoja na waimbaji binafsi wakiwemo
  1. BEDA ANDREW
  2. SARAH NDOSI
  3. BOMBY JOHNSON
  4. NSAJIGWA MWODEKAI
  5. ROGATE KALENGO
KUMBUKA NI IJUMAA HII PALE UPANGA CCC BUREEEEE KABISA

KWA MAWASILIANO ZAIDI

0657266777 NA 0627111777

THE WORSHIPPERS NIGHT---- KUSANYIKO LA WOTE WAMUABUDUO

KAWAIDA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527