SPIKA NDUGAI: WABUNGE WANAOTAJWA KATIKA UFISADI WASICHAGULIWE TENA KUGOMBEA UBUNGE


Spika wa bunge Job Ndugai amesema kutokana na ripoti nyingi za ufisadi kuwahusisha viongozi mbalimbali wa siasa wakiwemo wabunge waliowahi kuwa mawaziri, ipo haja ya kuandikia barua vyama vyao ili visiwapitishe kugombea.

Hayo ameyasema leo Ikulu jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti mbili za bunge kwa Rais Magufuli.

"Vyama vya siasa vina nguvu sana ipo haja ya kuviandikia barua, kwa sababu wananchi hawana makosa kuwachagua kwa sababu hawajui" ,amesema Ndugai.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post