BASI LA ADVENTURE LIMEPATA AJALI TABORA...KUNA TAARIFA YA VIFO NA MAJERUHI ZAIDI YA 50


Habari zilizotufikia kutoka Tabora zinasema kuwa basi la kampuni ya Adventure  lenye namba za usajili T992 BDT lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Mpanda mkoani Katavi  limeanguka mbele ya kijiji cha Ipole wilayani Sikonge mkoani Tabora.
Ajali hiyo imetokea leo jioni Jumamosi Septemba 2,2017.

Taarifa za awali zinasema Mtu mmoja amefariki dunia na zaidi ya 50 wamejeruhiwa.

Taarifa zaidi tutawaletea hapa kwenye blog yenu pendwa ya Malunde1 blog.Hizi hapa picha kutoka eneo la ajali
Basi la Adventure likiwa limepinduka

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post