HABARI MPYA INAYOWAHUSU WALE WATOTO MAJERUHI WA AJALI ARUSHA WALIOPELEKWA MAREKANI



Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ambaye anaratibu mchakato mzima wa matibabu ya Watoto watatu Nchini Marekani, waliojeruhiwa katika ajali ya Basi la Shule ya Lucky Vincent ya Arusha iliyoua wanafunzi 32, kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa huo amesema hali za watoto hao zimeimarika na kwamba Wanatarajiwa kurejea nchini Tarehe 18/8/2017 siku ya Ijumaa majira ya saa tatu Asubuhi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Kuhusu kama watoto hao mpaka sasa watakuwa wameelezwa chcochote kuhusu ajali iliyowakuta, Nyalandu amelijibu swali hilo

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post