CHADEMA WAICHEFUA SERIKALI KUWATIMUA WAANDISHI WA HABARI WA TBC

Msemaji Mkuu wa Serikali ameonesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuwazuia waandishi wa habari wa TBC na kudai kuwa kitendo hicho ni cha kuwanyima haki wengine.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527