HII NDIYO MITANDAO 10 YA DUNIA ILIYOCHAPISHA HABARI YA MSIBA MZITO TANZANIA

Leo May 8, 2017 Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza maelfu ya watanzania kuaga miili ya watu 32 waliofariki kwenye ajali ya gari katika maombolezo ya kitaifa yaliyofatika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid.

Ajali iliyoua watu 32 papo hapo nchini Tanzania wakiwemo Wanafunzi 29 wa shule ya St. Lucky Vicent na watu wazima watatu wakiwemo Walimu na Dereva, ni habari kubwa sio tu Tanzania bali hata kimataifa.
Katika kuhakikisha taarifa zinasambaa duniani kote mitandao mingi ya kimataifa imerusha habari hii wakiziandikia headlines mbalimbali lakini iliyoonesha kusikitishwa na tukio hilo.
The New York Times
NBC NEWS
ABC News
The Telegraph
Africanews
DAILY NATION
FOX NEWS World
The Daily Telegraph
YAHOO NEWS
EXPRESS

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527