Leo
Jumatatu Machi 20,2017 mkurugenzi wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba
ametoa ufafanuzi kuhusu Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda
kuvamia ofisi za Clouds Media Group usiku akiwa na askari wenye silaha
wakati wa kipindi cha Shirika la Wambea Duniani (SHILAWADU) BOFYA HAPA KUJUA MSIMAMO WA CLOUDS MEDIA |
Tags:
habari