RAIS MAGUFULI AMTEUA ANNE KILANGO MALECELA KUWA MBUNGE
Saturday, January 21, 2017
Rais John Pombe Magufuli amemteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mwaka 2016 Anne Kilango aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga kisha kutumbuliwa kutokana na kusema kuwa mkoa wa Shinyanga hauna watumishi hewa.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin