RAIS MAGUFULI AMFUKUZA KAZI MKURUGENZI ALIYETISHIA KUMUUA KWA BASTOLA ASKARI WA USALAMA BARABARANI




Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Emmanuel Mkumbo. Bado sababu za utenguzi hazijatajwa.


Mkurugenzi huyu ambaye uteuzi wake umetenguliwa, jana alifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumtishia kumuua kwa bastola askari wa Usalama Barabarani

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post