Tazama Video Mpya ya Msanii wa Nyimbo za Asili "Marley Jay" Kutoka Ushirombo-Inaitwa "Kuhangaika"



Malunde1 blog ni kisiwa cha nyimbo za asili,leo nakukutanisha na msanii wa nyimbo za asili Marley Jay kutoka Ushirombo mkoani Geita..wimbo unaitwa Kuhangaika..ni wimbo mzuri ameimbwa kwa lugha ya Kisukuma na Kiswahili..Tazama Video hii kali hapa chini

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527