Tazama Video Mpya ya Msanii wa Nyimbo za Asili "Marley Jay" Kutoka Ushirombo-Inaitwa "Kuhangaika"
Tuesday, June 28, 2016
Malunde1 blog ni kisiwa cha nyimbo za asili,leo nakukutanisha na msanii wa nyimbo za asili Marley Jay kutoka Ushirombo mkoani Geita..wimbo unaitwa Kuhangaika..ni wimbo mzuri ameimbwa kwa lugha ya Kisukuma na Kiswahili..Tazama Video hii kali hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin