Hatimaye Mwana FA Ameoa....Sahau Kuhusu Bado Nipo nipo,Tazama Picha
Anonymous-
‘Bado Niponipo’ ni moja ya nyimbo zake kubwa kuwahi kutokea pia katika bongofleva ambayo ilibebwa na swali kubwa la MwanaFA unaoa lini? sasa jibu lenyewe ndiyo limepatikana jana June 5 2016.
Picha kutoka @papichulo_chuly na @AyTanzania
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527