Tazama Video Mpya ya Asili ya Bhudagala Mwana Malonja,Inaitwa "Rhobi",Inahusu Ukeketaji,Kawataja Akina CHACHA
Monday, May 30, 2016
Malunde1 blog inawajali wasanii wa Nyimbo za asili Leo Mei 30,2016 Malunde1 blog tunakutambulishia rasmi album mpya 2016 ya gwiji wa nyimbo za asili anayeimba kwa lugha ya kabila la Kisukuma kutoka kanda ya Ziwa nchini Tanzania.Msanii Bhudagala Mwanamalonja anatoka Serengeti mkoa wa Mara.Albamu yake mpya inaitwa "Kishimbe".Ninao hapa wimbo unaitwa Rhobi..Kazungumzia kuhusu suala la ukeketeji kwa watoto wa kike na madhara yake..Tazama Hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin