![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgABFf1QtaL-9YYZIB5RitmuP4g-AvnCpxlqha50o6GjXkxof_1hAzjXZQmKM6I_bF8Rgg71v52Vxt6pWu3JgaLFcAX_6T-qJ-cxJydbl2-l-bwkaqE72jDcj3O198gDo1GuoUQdiLDVfNW/s640/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mh.James Mbatia pichani kati,amethibitishwa na mahakama kuu kuwa mbunge halali wa Jimbo hilo baada ya Augustino Lyatonga Mrema kuifuta kesi hiyo .
Kesi hiyo ya uchaguzi katika jimbo la Vunjo ilifunguliwa na aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Augustino Lyatonga Mrema.