 |
Basi la Leina Tours lililokuwa likitokea Kahama kwenda Dar es Salaam,
limeacha njia na kutumbukia katika mtaro eneo la Kimara Bucha usiku wa
kuamkia leo
Idadi ya waliofariki haijafahamika ila
waliojeruhiwa ni zaidi ya 30 na walikimbizwa Haospitali ya
Mwananyamala na Muhimbili. |
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527