ASKARI POLISI AUA KIJANA KISA POCHI YENYE KADI ZA BENKI NA KITAMBULISHO HUKO MWANZA
Monday, January 04, 2016
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limemshikilia askari no.F.4965 PC JOEL FRANCIS Kwa tuhuma kumpiga na kumsababishia kifo kijana Donard Magalata aliyekuwa akiishi naye nyumbani kwake.
Askari huyo alimpiga kijana Donald mara baada ya kubaini kuwa pochi yake iliyokuwa na kadi mbili za benki na kitambulisho cha kazi havipo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin