YAKO HAPA MAJINA ZAIDI YA 40 YA WABUNGE WALIOTHIBITISHWA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU


Tunaendelea kuzipata updates kila wakati kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuhusu matokeo ya Kura za Wagombea Urais kwenye uchaguzi uliofanyika October 25 2015 Tanzania.


Ripoti za matokeo ya waliopita kwenye Ubunge na Udiwani zinaendelea kutoka, lakini kwingine bado mambo hayajawa sawa.
Hii ni sehemu ya majina niliyoyapata kuhusu waliopita kwenye nafasi ya Ubunge..

Busega – Rafael Chegeni (CCM)
Nyamagana Mwanza – Stanslaus Mabula (CCM)
Kibamba – John Mnyika (CHADEMA)
Msalala – Ezekiel Maige (CCM)
Ngara – Alex Gashaza (CCM)
Kigamboni Dar es salaam– Faustine Ndugulile (CCM)
Mikumi – Joseph Haule (Profesa Jay) – CHADEMA
Kisarawe– Suleiman Jaffo (CCM)
Bagamoyo -Dk. Shukuru Kawamba (CCM)
Ilemela (Mwanza) – Angelina Mabula (CCM)
Bukoba Mjini – Wilfred Lwakatare (CHADEMA)
Ilala – Mussa Azan Zungu (CCM)
Singida Mjini – Mussa Sima (CCM)
Same Magharibi– Mathayo David Mathayo (CCM)
Same Mashariki– Nagenjwa Kayoboka (CHADEMA)
Rombo– Joseph Selasini (CHADEMA)
Rungwe– Saul Henry Amon (CCM)
Shinyanga mjini– Stephen Masele (CCM)
Bunda– Esther Bulaya (CHADEMA)
Chalinze– Ridhiwan Kikwete (CCM)
Bagamoyo– Shukuru Jumanne Kawambwa (CCM)
Iramba Mashariki – Mwigulu Nchemba (CCM)
Hai (Kilimanjaro) – Freeman Aikaeli Mbowe (CHADEMA)
Mbeya Mjini – Joseph Osmond Mbilinyi (CHADEMA)
Hanang – Mary Nagu (CCM)
Lupembe – Joram Ismael Hongoli (CCM)
Kigoma Mjini – Zitto Zubery Kabwe (ACT- Wazalendo)
Dodoma Mjini– Antony Mavunde (CCM)
Mtama (Lindi)– Nape Moses Nnauye (CCM)
Babati Vijijini– Jitu Soni (CCM)
Kawe (Dar) – Halima James Mdee (CHADEMA)
Mbeya Mjini– Joseph Osmund Mbilinyi (CHADEMA)
Kahama Mjini – Kishimba Jumanne Kibera (CCM)
Sikonge (Tabora) – George Kakunda (CCM)
Nzega Mjini– Hussein Mohammed Bashe (CCM)
Urambo (Tabora)– Margaret Sitta (CCM)
Singida Mjini– Mussa Sima (CCM)
Mpanda Vijijini – Moshi Selemani Kakoso (CCM)
Geita Mjini – Constantine Kanyasu (CCM)
Mbeya Vijijini– Oran Njeza (CCM)
Mafinga Mjini– Cosato Chumi (CCM)
Kalenga (Iringa)– Godfrey Mgimwa (CCM)
Isimani (Iringa) – William Lukuvi (CCM)
Songea Mjini – Leonidas Gama (CCM)
Kilombero – Peter Ambrose (CHADEMA)
Iramba Mashariki – Allan Joseph Kiula (CCM)
Newala (Mtwara) – George Mkuchika (CCM)
Kavuu (Katavi) – Prudenciana Kikwembe (CCM)
Longido (Arusha) – Onesmo Nangole (CHADEMA)
Kwimba (Mwanza) – Mansoor Shanif Hirani (CCM)
Bukoba Vijijini – Jason Rweikiza (CCM)
Solwa-Ahmed Salum(CCM)
 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527