Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

SHUHUDIA HAPA MAZISHI YA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE...SIMANZI YATAWALA LUDEWA



Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe aliyefariki kwa ajali ya chopa umezikwa jimboni kwake huku viongozi mbalimbali,wapiga kura wake na watu mbalimbali wenye mapenzi mema wakihudhuria mazishi yake.
>>>SOMA HAPA HABARI KAMILI NA UONE PICHA NYINGI ZAIDI


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com