NIMEKUWEKEA HAPA MATOKEO YA UBUNGE JIMBO LA USHETU WILAYANI KAHAMA



Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Ushetu Ndugu Elias John Kwandikwa-Picha kutoka Maktaba yetu




Matokeo ya ubunge jimbo la Ushetu.

Elias Kwandikwa(CCM) kura 46,958
Isaya Bukakiye(Chadema) kura 21,365
John Kitibu(NCCR Mageuzi) kura 782
Charles Lubala( Act Wazalendo) kura 88


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527