Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Ushetu Ndugu Elias John Kwandikwa-Picha kutoka Maktaba yetu
Matokeo ya ubunge jimbo la Ushetu.
Elias Kwandikwa(CCM) kura 46,958
Isaya Bukakiye(Chadema) kura 21,365
John Kitibu(NCCR Mageuzi) kura 782
Charles Lubala( Act Wazalendo) kura 88