ZIKO HAPA PICHA 30 ZA MKUTANO WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA/UKAWA SHINYANGA MJINI PATROBAS KATAMBI MAARUFU MZIMU WA SHELEMBI



Jumapili Septemba 27,2015,mgombea ubunge jimbo la Shinyanga Mjini wa Chadema kupitia Ukawa Patrobas Katambi maarufu kwa jina la Mzimu wa Shelembi ameendelea na kampeni zake na leo ilikuwa zamu ya Kata ya Ndembezi.Mkutano wa hadhara umefanyika katika eneo la Shule ya Msingi Ndembezi na kuhudhuriwa na mamia ya wakazi wa eneo hilo.Mkutano huo umehudhuriwa pia na mjumbe wa Baraza kuu Chadema Taifa Joseph Kasambala-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog Shinyanga



Meza kuu wakifuatilia kilichokuwa kinajiri eneo la mkutano


Awali Mjumbe wa Baraza kuu Chadema Taifa Joseph Kasambala akiwahutubia wakazi wa Ndembezi katika manispaa ya Shinyanga ambapo aliwaomba wananchi kuwapa kura wagombea wa Ukawa na kutorudia makosa ya kuchagua viongozi wa CCM ambao wameshindwa kutatua kero za wananchi


Wananchi wakifuatilia mkutano


Mjumbe wa Baraza kuu Chadema Taifa Joseph Kasambala alisema Mwaka huu mpaka kieleweke katika jimbo la Shinyanga mjini kwani wamejipanga vyema kuchukua jimbo hilo na hawatakubali uchakachuaji wowote katika uchaguzi ujao


Mkazi wa Ndembezi akifurahia jambo na mwanaye kwenye mkutano huo

Mgombea ubunge wa Chadema/Ukawa jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi akiwahutubia wakazi wa Shinyanga ambapo alisema CCM imeshindwa kusimamia ilani yake hivyo kinachotakiwa ni mabadiliko tu ili kuwakomboa watanzania


Mwananchi akifuatilia mkutano


Wananchi wakiwa eneo la mkutano


Mkutano unaendelea


Tunafuatilia mkutano wa Katambi


Wananchi wakifuatilia kilichokuwa kinajiri eneo la mkutano


Mgombea ubunge wa Chadema/Ukawa jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi akitoa sera zake na kuomba kura kwa wananchi


Mkutano unaendelea


Wananchi wakifuatilia mkutano huo


Mgombea ubunge wa Chadema/Ukawa jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi maarufu Mzimu wa Shelembi akichambua baadhi ya vipengele katika ilani ya CCM


Akina mama wakiwa wamekaa chini wakimsikiliza mgombea ubunge wa Chadema Patrobas Katambi


Mkutano unaendelea


Wananchi wakifuatilia kilichokuwa kinajiri


Bibi akiwa na mjukuu wake akifuatilia hotuba ya Katambi


Babu akaamua kukaa juu ya baiskeli yake ...anafuatilia mkutano
Mgombea ubunge wa Chadema/Ukawa jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi akimtambulisha mgombea udiwani wa Ukawa katika kata ya Ndembezi Rojas Robinson na kumwombea kura kwa wananchi





Wananchi wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea


Makada wa Chadema/Ukawa wakiwa eneo la mkutano wakionesha mbwembwe zao


Wananchi wakinyoosha mikono baada ya kuulizwa kama watamchagua Katambi na wagombea wengine wa Ukawa


Mkutano unaendelea


Mabadilikooo!!! Lowassaaaa!!! wananchi wanachanganya mikono


Mkutano unaendelea


Mkazi wa Ndembezi akifuatilia mkutano


Wananchi wakifurahia jambo baada ya mkutano


Wananchi wakiondoka eneo la mkutano

Picha zote na Kadama Malunde- Malunde1 blog Shinyanga

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527