Tanzia: MBUNGE WA TANZANIA AFARIKI DUNIA AKIWA USINGIZINI HUKO DODOMA



Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es Salaam kupitia tiketi ya (CCM) Eugine Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa usingizini nyumbani kwake Dodoma.

Bunge limeahirishwa hadi keshokutwa baada ya kufanyika kwa taratibu za mazishi
Mungu ametoa Mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. 

R.I.P Eugine Mwaiposa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post