SIYO VITUKO BALI NI UKWELI KABISA!! ANGALIA MATUMIZI YA GARI ZA AINA HII HUKO KENYA
Sunday, June 07, 2015
Kuna picha unaweza kuona mtu kapost
kwenye mitandao ya kijamii alafu ukaona kama ni picha ya kutengenezwa
hivi na haina ukweli wowote.. amini kwamba ziko nyingine ni za ukweli
kabisa!!
Julius Kipkoech katusogezea hizi picha… haya ndiyo matumizi mengine ya hizi gari aina ya Toyota Probox ndani ya Kenya mtu wangu.
Hii imebeba abiria.. Ukiangalia kwa haraka haraka watu waliomo ndani na mizigo imezidi uwezo wa gari yenyewe.
Hii imebeba list ya mastaa wa soka na majina mengine ya timu za mpira wa miguu.
Hawa walipakia ng’ombe kabisa.
Hii iko zake kijiweni inasubiri abiria.
Hii imepakia tanki.
Huu ndio mwonekano wa Toyota Probox mpya kabisa.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin