Breaking News!! MTANGAZA NIA KUGOMBEA 2015 ACHARANGWA MAPANGA HUKO GEITA

Habari za hivi punde zilizokifikia chumba cha habari cha Malunde1 Blog kutoka Mkoani Geita ni kwamba mtangaza nia kugombea nafasi ya


udiwani kata Rwamgasa wilaya ya Geita na Ubunge jimbo la Busanda  mkoani Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Paulo Ntilima ( 30)  amecharangwa  mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana usiku huu.

Mwandishi wa Malunde1 blog mkoani Geita Valence Robert ambaye amefika eneo la tukio anasema mtia nia huyo amelazwa wodi namba 8 hospitali  ya wilaya ya Geita kwa ajili ya matibabu.
SOMA HABARI KAMILI HAPA 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post