AJALI YA BAJAJI NA LORI YAUA MWENDESHA BAJAJI HUKO NZEGA
Tuesday, May 05, 2015
Ajali za barabarani zimeendelea kupoteza maisha ya Watanzania ambapo leo asubuhi Mwendesha bajaji aliyejulikana kwa jina la Hussein Masha mkazi wa Nzega Ndogo wilayani Nzega mkoani Tabora amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Tipa.
Mashuhuda wa ajali hiyo wameiambia Malunde1 blog kuwa mwendesha bajaji huyo alikuwa anatoka Nzega Ndogo kuelekea Nzega
mjini ,alipofika katika eneo la Kitongo akataka kukata kona kuingia barabara ya
posta ndipo tipa lililokuwa nyuma yake likagonga na kusababisha kifo chake papo
hapo huku mwenye tipa akikimbia
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin