ANGALIA PICHA ZA AJALI YA BASI LA JORDAN HUKO NZEGA-TABORA,GARI LILIMSHINDA DEREVA KWENYE KONA,LIKAPINDUKA,LIKAUA
Wednesday, April 15, 2015
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 25 kujeruhiwa baada ya basi la Jordan
lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Arusha kupinduka eneo la Nzega mkoani
Tabora. Mtu huyo mmoja aliyepoteza maisha ni baada ya kulaliwa na basi hilo.
Basi hilo lenye namba za usajili T650 AQZ, inaelezwa kuwa lilipinduka baada ya kumshinda dereva katika eneo lenye kona kali.
Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea.
Baadhi ya Abiria
wakiwa nje ya basi la Jordan mara baada ya kupinduka wilayani Nzega
mkoani Tabora na kupelekea kifo cha mtu mmoja.
Mmoja wa abiria
akifanya mawasiliano baada ya kunusurika kifo mara baada ya basi la
Jordan kupinduka wilayani Nzega mkoani Tabora na kupelekea kifo cha mtu
mmoja.
Pichani juu ni mmoja wa majeruhi akisaidiwa na msamaria mwema mara baada ya kupata ajali.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin