kumetokea
ajali ya Basi la Princes munaa lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda
Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa
Dodoma.
Halijaua lakini kuna Majeruhi.
picha kwa mujibu wa jamii forums
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok