1.Kutokujijali
katika uvaaji kutokujali vitu vyako kama simu yako, mara nyingi utakuwa
unalaumiwa kwa kosa la kutokupokea simu kwani huna mtu atakaekufanya uwe
“busy” na simu.
2.Utajikuta unamarafiki wengi zaidi wa jinsia tofauti na kujikuta unaanza kupoteza “uanaume” au “Uanamke” wako.
3.
Ulaji mbovu kutokana na kuzoea kula peke yako. Utafiti unaonyesha kuwa,
watu wenye wapenzi hula kwa staha zaidi ili kuwafurahisha wapenzi wao
kuliko watu wasio na wapenzi.
4.Msongo wa mawazo.Hii ni kutokana na kukosa mtu wa karibu unaeweza
kumuambia siri yako ya ndani. Utajikuta unatumia muda wako mwingi kuwaza
matatizo yako, na inapotokea uko na marafiki zako, utaogopa
kuwashirikisha kwa kuhisi kwamba utachekwa.
5.Unakosa Kujiamini katika maisha ya kawaida.
6.Ubinafsi na kufikiria nafsi yako tu siku zote
7.Itaathiri utendaji wako wa Kazi! Kweli? Ndio.. Usipokuwa na
mpenzi mpaka umri huo, utajikuta unakaa masaa ya ziada kazini na
wafanyakazi wenzako watakupa kazi zao kwani utaonekana huna majukumu
mengi
8.Siku Ukipata mpenzi utajikuta huwezi kutawala suala la mapenzi, na litachukua muda wako mwingi.
9.Utajikuta unatawaliwa sana na mchezo wa kujichua (Punyeto)