ANGALIA PICHA_MSANII BHUDAGALA MWANAMALONJA AKUSANYA MAELFU YA WAKAZI WA GEITA KATIKA SHOW YAKE

Hapa ni katika viwanja vya mji wa Kasamwa mkoani Geita ambapo mwishoni mwa wiki iliyopita msanii wa nyimbo za asili Kutoka kanda ya ziwa Victoria Bhudagala Mwanamalonja aliangusha show/burudani babu kubwaa katika kuukaribisha mwaka mpya 2015 na wakazi wa Geita.Maelfu ya watu kutoka kila kona ya mkoa wa Geita walijitokeza.

Msanii Bhudagala Mwanalonja akitambulisha albamu yake mpya inayoitwa "Munda" katika viwanja vya mji wa Kasamwa mkoani Geita

Maelfu ya wakazi wa Geita wakifuatilia show ya Bhudagala Mwanamalonja

 Wakazi wa Kasamwa Geita wakishuhudia Burudani kutoka kwa Msanii Bhudagala Mwanamalonja
Burudani inaendelea

 Vijana wa sarakasi wakitoa burudani katika viwanja vya mji wa Kasamwa mkoani Geita
Bhudagala akitoa burudani
Burudani inaendelea
Wakazi wa Kasamwa Geita wakiondoka uwanjani baada ya show kuisha


Bonyeza hapa Tukupe habari zote mara moja zikitoka "HABARI" VITUKO "MAPENZI"MAGAZETI,UDAKU>
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba  +255 688 405 951

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527