MAMA AAMUA KUWAUA WATOTO WAKE KWA KUWAKATA KOROMEO ETI KISA WANALIA LIA MFULULIZO
Wednesday, January 28, 2015
Mwanamke mmoja jijini Washington amehukumiwa adhabu ya kifo baada ya kujaribu kuwaua watoto wake watatu kwa kuwakata koromeo ili waache kupiga kelele.
Christina Booth baada
ya kufanya unyama huo, aliwapigia polisi simu na kuwaambia kuwa wanawe
hao wamekua na tabia ya kulia mfululizo bila kunyamaza kitendo
kilichomkasirisha na kuamua kutenda kosa hilo.
Polisi
baada ya kufika eneo la tukio aliwakuta watoto hao ambao mmoja ana
miaka miwili na wengine mapacha wana miaka sita,wakiwa taabani na kuamua
kuwakimbiza hospitali kabla ya kumweka mama yao ndani kutokana na
kufanya unyama huo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin