Aibu ya Mwaka!! VIDEO YA UCHI YA MCHUNGAJI MAARUFU WA KANISA YAVUJA
Wednesday, January 28, 2015
Mchungaji maarufu Afrika Kusini Sthembiso Zondo
ambae huwa anatoa mahubiri yake kwa njia ya Redio nchini humo, ratiba
ya kurushwa kwa mahubiri yake imesimamishwa kurushwa hewani baada ya
kuvuja video inayomuonyesha akizungumza kwenye simu huku akiwa hajavaa
nguo yoyote.
Mchungaji Sthembiso Zondo
Shirika la utangazaji la Afrika Kusini (SABC) limetoa
amri ya kusimamishwa kwa Kipindi cha mchungaji huyo hadi
itakapotangazwa tena, maamuzi yaliyotolewa baada ya video inayomuonyesha
Mchungaji Zondo
akiwa hajavaa nguo iliyowekwa kwenye mitandao, video hiyo inaonyesha
kuwa ilirekodiwa na mwanamke aliyekuwa amevaa skirt ya pink lakini
hakuweza kutambulika.
Taarifa zinasema kuwa Zondo aliomba
radhi kutokana na kuvuja kwa video hiyo, japo kulikuwa na mvutano pia
wengine wakilaumu aliyevujisha video hiyo huku wengine wakimfata
mchungaji huyo ajieleze kuhusu video hiyo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin