ANGALIA PICHA-TRANSFOMA YATEKETEA KWA MOTO HUKO IRINGA
Friday, January 16, 2015
Transfoma
la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto
mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa
Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea
baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa
muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.
Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.CHANZO MICHUZI BLOG
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin