FUNGUA HABARI HII,INAKUHUSU WEWE UNAYESUBIRI MWAKA MPYA 2015


Mkurugenzi na Mmiliki wa Malunde Media inayomiliki Malunde1 blog,Fahari ya Shinyanga (www.malunde1.blogspot.com) na Babu Blog (www.malunde.com) Ndugu Kadama Malunde wa Shinyanga anawatakia heri ya Mwaka mpya 2015 wasomaji wote wa blog hizi 2.

Tunaomba muendelee kutembelea blog hizi kwa habari za Ukweli na Uhakika katika mwaka 2015,tunaamini mtatupa ushirikiano zaidi ya mwaka unaoisha saa chache zijazo.

Unaweza kuwasiliana na ndugu Kadama Malunde kwa simu/ Whatsapp namba 068 8405 951 kama una chochote cha kumwambia kuhusu huduma za Malunde Media  katika mwaka 2014 na nini afanye katika mwaka 2015.




Bonyeza hapa Tukupe habari zote mara moja zikitoka "HABARI" VITUKO "MAPENZI"MAGAZETI,UDAKU>
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba  +255 688 405 951

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527