Kipindi cha nyuma kuna baadhi ya picha za wasanii wawili yaani Ommy Dimpoz pamoja na Jokate Mwagelo zikiwanyesha wakiwa kwenye mavazi ya ajabu na watu wakasema kuwa hiyo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa msanii Ommy Dimpoz kuja Dar kutokea kwao Kigoma na alipokelewa na Jokate Mwagelo lakini kumbe sivyo ilivyokuwa inadhaniwa ilikuwa ni remix ya nyimbo Tupogo leo hii ndiyo imetoka unaweza kuona hapa kwa mara ya kwanza kabisa
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin