Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Breaking News!! JAMAA AUAWA KWA KUCHOMWA MOTO AKIIBA MALI ZA ABIRIA WALIOPATA AJALI ASUBUHI HII MJINI KAHAMA

Mwili wa kijana anayedaiwa kujaribu kuiba lap top ya majeruhi katika eneo la ajali ndipo wananchi waliokuwa eneo la tukio walimpiga na kumchoma moto


 Jamaa mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja amechomwa moto na wananchi leo asubuhi  na kufariki dunia papo hapo baada ya kujaribu kuiba vitu vikiwemo Laptop na vitu vyingine mali za abiria katika ajali iliyotokea leo asubuhi mjini Kahama mkoani Shinyanga baada la Bus la Wibonela Express kupata ajali na kuua watu wanne,mtoto mmoja,wanaume wawili na mwanamke mmoja

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com