Huzuni na majonzi imetanda asubuhi hii katika mji wa Kahama baada ya bus la Wibonela Express linalofanya safari zake Kahama mkoani Shinyanga kwenda Dar es salaam kupinduka baada ya kutoka Stand kuu ya Kahama kilomita chache kutoka stand katika eneo la Phantom na kuua watu wanne akiwemo mtoto mmoja,wanaume wawili na mwanamke mmoja na watu zaidi ya 40 kujeruhiwa.
Taarifa za awali zinasema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi ,huku ikitajwa kuwa dereva alishindwa kulihili basi hilo na kupinduka katika kona ya Phantom
.
Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kahama umesema waliofariki dunia ni watu wanne majeruhi 41.
>>BOFYA>>HABARI ZAIDI
.
Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kahama umesema waliofariki dunia ni watu wanne majeruhi 41.
>>BOFYA>>HABARI ZAIDI
ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA CHINI




















Social Plugin