SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MAALUM KUHUSU MUUNGANO ULIOWAKUTANISHA WASANII 50 WA TANZANIA


Wimbo Maalumu wa Muungano ulioimbwa na wasanii 50 kutoka Tanzania ambao kwa pamoja walikaa na kutengeneza wimbo huu,jina la wimbo huu unaitwa Tuulinde umetayarishwa na maproducer wawili Ema the boy na Tuddy Thomas kutoka Soround Sound Studio.
Wimbo huu maalumu wa Muungano umeimbwa kutoka katika mahadhi tofauti tofauti ya muziki wa hapa Tanzania kuna wa Bongo Flava, Taarab, Dansi, Hiphop na muziki wa injili.

Inawezekana ikawa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu,wasanii 50 tofauti kuimba wimbo kwa pamoja,kwa ushirikiano mkubwa,wasanii hawa wanatukumbusha umuhimu wa Muungano ambao ndio utanzania wetu.

Miongoni mwa wasanii ambao utazisikia sauti zao ni pamoja na Kadjanito, Mwasiti, Linah, Christina Shusho, Khadija Kopa, Frola Mbasha, Ommy Dimpoz, Diamond, Josse Mara, Kalala Jr, Ali Kiba, Peter Msechu, Mrisho Mpoto, Abdul Kiba, Mzee Yusuph, Angel, Mwana Fa, Nikki Wa pili, G Nako, GodZilla, Madee, Asley, Shaa, Mandojo, Domokaya, Shilole na Roma Mkatoliki.

SIKILIZA HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post